Amiri
Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Tanzania Rais Dkt. John
Pombe Magufuli akihotubia Viongozi wa Majeshi na Serikali pamoja na
Wananchi mbalimbali waliojitokeza katika hafla ya kufunga Mafunzo ambapo
jumla Askari 513 wakiwemo Maafisa wa Polisi 120 na Wakaguzi Wasaidizi
393 wamehitimu katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Kurasini Jijini Dar es
salaam.Desemba 21,2018.
Mkuu
wa Jeshi la Polisi IGP Saimon Sirro akizungumza mbele ya Amiri Jeshi
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Tanzania Rais Dkt. John Pombe
Magufuli na Viongozi pamoja na Wananchi mbalimbali katika hafla ya
kufunga Mafunzo ambapo jumla Askari 513 wakiwemo Maafisa wa Polisi 120
na Wakaguzi Wasaidizi 393 wamehitimu katika Chuo cha Taaluma ya Polisi
Kurasini Jijini Dar es salaam.Desemba 21,2018
Naibu
Waziri wa Mambo ya ndani Mhe.Ahmad Masauni akizungumza mbele ya Amiri
Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Tanzania Rais Dkt. John Pombe
Magufuli na Viongozi pamoja na Wananchi mbalimbali katika hafla ya
kufunga Mafunzo ambapo jumla Askari 513 wakiwemo Maafisa wa Polisi 120
na Wakaguzi Wasaidizi 393 wamehitimu katika Chuo cha Taaluma ya Polisi
Kurasini Jijini Dar es salaam.Desemba 21,2018
Mkuu
wa Jeshi la Polisi Mstaafu Omary Mahita akitoa salamu zake mbele ya
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Tanzania Rais Dkt. John
Pombe Magufuli na Viongozi pamoja na Wananchi mbalimbali katika hafla
ya kufunga Mafunzo ambapo jumla Askari 513 wakiwemo Maafisa wa Polisi
120 na Wakaguzi Wasaidizi 393 wamehitimu katika Chuo cha Taaluma ya
Polisi Kurasini Jijini Dar es salaam.Desemba 21,2018
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Tanzania Rais Dkt. John Pombe Magufuli akikagua Paredi ya Maafisa na Wakaguzi wahitimu wa Jeshi la Polisi katika hafla ya kufunga Mafunzo ambapo jumla Askari 513 wakiwemo Maafisa wa Polisi 120 na Wakaguzi Wasaidizi 393 wamehitimu katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Kurasini Jijini Dar es salaam.Desemba 21,2018
Paredi ya Maafisa na Wakaguzi wahitimu wa Jeshi la Polisi ikipita mbele ya Mgeni rasmi Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Tanzania Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika hafla ya kufunga Mafunzo ambapo jumla Askari 513 wakiwemo Maafisa wa Polisi 120 na Wakaguzi Wasaidizi 393 wamehitimu katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Kurasini Jijini Dar es salaam.Desemba 21,2018
Wahitimu Maafisa na Wakaguzi wa Jeshi la Polisi wakiapa kiapo cha Utii na Uadilifu mbele ya Mgeni rasmi Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Tanzania Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika hafla ya kufunga Mafunzo ambapo jumla Askari 513 wakiwemo Maafisa wa Polisi 120 na Wakaguzi Wasaidizi 393 wamehitimu katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Kurasini Jijini Dar es salaam.Desemba 21,2018
Maafisa na Wakaguzi wapya wa Jeshi la Polisi wakitoa salamu ya heshima walipopita mbele ya Mgeni rasmi Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Tanzania Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika hafla ya kufunga Mafunzo ambapo jumla Askari 513 wakiwemo Maafisa wa Polisi 120 na Wakaguzi Wasaidizi 393 wamehitimu katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Kurasini Jijini Dar es salaam leo Desemba 21, 2018
PICHA NA IKULU










Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...