Mmoja wa waendesha pikipiki wa kata Bupu Wilaya ya Mkuranga mkoa wa  Pwani akiwa amepakia mzigo wa mkaa katika pikipiki  huku akiwa hajavaa  kofia ngumu pamoja na viatu  jambo ambalo ni hatalisha  kwa usalama wake kama anavyo onekana pichani (Picha na Emmanuel Massaka,MMG)
 Ajali kazini.
wasamalia wema wakafika na kumsaidia kunyanyua pikipiki yake  pamoja na Mizigo aliyokuwa amebeba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...