Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akipokea zawadi kutoka kwa Brigedia Jenerali Itai Veruv wa Israel baada ya kukutana na kufanya mazungumzo, Makao makuu ya Jeshi la Polisi ambapo kwa pamoja wamekubaliana kuimarisha ushirikiano katika masuala ya usalama. picha na jeshi la polisi.
Brigedia Jenerali Itai Veruv (katikati) akizungumza na Balozi wa Israel nchini Noah Gal Gendler kutoka kushoto Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, Walipofika makao makuu ya Jeshi la Polisi kwa ajili ya mazungumzo. picha na jeshi la polisi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...