Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria, Mohamed Mchengelwa akizungumza katika Kikao cha kukusanya maoni kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa wa mwaka 2018 kilichofanyika katika Ukumbi wa Msekwa, kulia kwake ni Makamu Mwennyekiti wa Kamati hiyo, Najma Giga.
Wadau mbalimbali wakiwa wamejitokeza katika Kikao cha Kamati ya Bunge Katiba na Sheria kwa ajili ya kutoa maoni yao kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa wa mwaka 2018. Kikao hicho kimefanyika katika Ukumbi wa Msekwa kikiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mohamed Mchengelwa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...