Mkurugenzi Mkuu wa Mzinga Holdings Company, Meja Jenerali, Seif Makona ambaye ndiyo Mkandarasi anayejenga Jengo la Ofisi ya Waziri Mkuu katika Mji mpya wa serikali akiteta na Mkurugenzi Idara ya Uratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kanali Jimmy Matamwe, wakati Mkurugenzi Matamwe alipotembelea eneo la ujenzi wa ofisi hiyo, leo tarehe 17 Januari, 2019.
Mkurugenzi Idara ya Uratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kanali, Jimmy Matamwe akiangalia shughuli za ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Waziri Mkuu katika Mji mpya wa serikali, Ihumwa, Dodoma, leo tarehe 17 Januari, 2019.
Mkurugenzi Idara ya Uratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kanali, Jimmy Matamwe akiongea na moja ya mafundi kutoka Mzinga Holdings ompany wakati alipotembelea eneo la ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Waziri Mkuu katika Mji mpya wa serikali, Ihumwa, Dodoma, leo tarehe 17 Januari, 2019.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...