Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome (wa tatu kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na mgeni wake Balozi wa Tanzania wa kudumu wa Umoja wa Mataifa Balozi Modest Mello (wa tatu kulia) baada ya kumaliza mazungumzo ofisini kwa Katibu Mkuu. Wengine pichani ni Maafisa kutoka Wizara ya Katiba na Sheria na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushierikiano wa Afrika Mashariki.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome akiagana na mgeni wake Balozi wa Tanzania wa kudumu wa Umoja wa Mataifa Balozi Modest Mello baada ya mazungumzo ofisini kwa Katibu Mkuu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...