Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome (wa tatu kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na mgeni wake Balozi wa Tanzania wa kudumu wa Umoja wa Mataifa Balozi Modest Mello (wa tatu kulia) baada ya kumaliza mazungumzo ofisini kwa Katibu Mkuu. Wengine pichani ni Maafisa kutoka Wizara ya Katiba na Sheria na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushierikiano wa Afrika Mashariki.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome akiagana na mgeni wake Balozi wa Tanzania wa kudumu wa Umoja wa Mataifa Balozi Modest Mello baada ya mazungumzo ofisini kwa Katibu Mkuu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...