Waziri
wa Nishati, Dkt Medard Kalemani, Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa
Paramagamba Kabudi, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,
William Lukuvi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na
Mazingira, January Makamba wamefanya kikao kati yao na wataalam kutoka
Taasisi mbalimbali nchini Tanzania walio katika Timu ya Kitaifa ya
Majadiliano ya Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi kutoka Uganda hadi
Tanzania.
Kikao hicho kinachofanyika Kampala – Uganda ni cha maandalizi kabla ya kufanyika kikao na Mawaziri wa Uganda wanaohusika na mradi huo baadaye leo.
Kikao cha Mawaziri wa Tanzania na Uganda wanaohusika na mradi huo kinafanyika kufuatia majadiliano ya wataalam wa nchi hizi mbili yaliyoanza tarehe 21/1/2019 na kufuatiwa na Kikao cha Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali zinazosimamia mradi kutoka Tanzania na Uganda kilichofanyika Januari 24/2019
Kutoka
kushoto ni Januari Makamba Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais,
Muungano na Mazingira, William Lukuvi Waziri wa Ardhi, Nyumba na
Maendeleo ya Makazi, Dk.Merdad Kalemani Waziri wa Nishati, Profesa
Paramagamba Kabudi Waziri wa Sheria na Katiba Mawaziri kutoka Jamhuri ya
Muungano ya Tanzania wanaohudhuria kikao kuhusu maandalizi ya ujenzi wa
bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda mpaka Tanga nchini
Tanzania,ambapo majadiliano ya wataalam wa nchi hizi mbili yaliyoanza tarehe 21/1/2019 na kufuatiwa na Kikao cha Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali zinazosimamia mradi kutoka Tanzania na Uganda kilichofanyika Januari 24/2019 nchini Uganda.

Mawaziri kutoka Jamhuri ya Muungano ya Tanzania na Jahuri ya Uganda wakiwa katika mkutano kuhusu maandalizi ya ujenzi wa mradi wa bomba la mafuta kutoka Hoima nchini Uganda mpaka Tanga nchini Tanzania unaofanyika leo nchini Uganda.
Baadhi ya wataalam wakiwa katika mkutano huo.
Makatibu wakuu wa wizara mbalimbali kutoka nchini Tanzania wakihudhuria mkutano huo.
Baadhi ya maofisa kutoka Tanzania wakihudhuria mkutano huo.
Kikao hicho kinachofanyika Kampala – Uganda ni cha maandalizi kabla ya kufanyika kikao na Mawaziri wa Uganda wanaohusika na mradi huo baadaye leo.
Kikao cha Mawaziri wa Tanzania na Uganda wanaohusika na mradi huo kinafanyika kufuatia majadiliano ya wataalam wa nchi hizi mbili yaliyoanza tarehe 21/1/2019 na kufuatiwa na Kikao cha Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali zinazosimamia mradi kutoka Tanzania na Uganda kilichofanyika Januari 24/2019
Kutoka
kushoto ni Januari Makamba Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais,
Muungano na Mazingira, William Lukuvi Waziri wa Ardhi, Nyumba na
Maendeleo ya Makazi, Dk.Merdad Kalemani Waziri wa Nishati, Profesa
Paramagamba Kabudi Waziri wa Sheria na Katiba Mawaziri kutoka Jamhuri ya
Muungano ya Tanzania wanaohudhuria kikao kuhusu maandalizi ya ujenzi wa
bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda mpaka Tanga nchini
Tanzania,ambapo majadiliano ya wataalam wa nchi hizi mbili yaliyoanza tarehe 21/1/2019 na kufuatiwa na Kikao cha Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali zinazosimamia mradi kutoka Tanzania na Uganda kilichofanyika Januari 24/2019 nchini Uganda. Mawaziri kutoka Jamhuri ya Muungano ya Tanzania na Jahuri ya Uganda wakiwa katika mkutano kuhusu maandalizi ya ujenzi wa mradi wa bomba la mafuta kutoka Hoima nchini Uganda mpaka Tanga nchini Tanzania unaofanyika leo nchini Uganda.
Baadhi ya wataalam wakiwa katika mkutano huo.
Makatibu wakuu wa wizara mbalimbali kutoka nchini Tanzania wakihudhuria mkutano huo.
Baadhi ya maofisa kutoka Tanzania wakihudhuria mkutano huo.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...