Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akisalimiana na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi
Joseph Malongo (kulia) mara baada ya kuwasili katika eneo linalojengwa
Ofisi ya Makamu wa Rais Ihumwa Dodoma. (Picha na Ofisi ya Makamu wa
Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akisalimiana na Katibu Kamati ya Taifa ya Kuratibu Mpango wa
Serikali kuhamia Dodoma Bw. Meshach Bandawe (kulia) mara baada ya
kuwasili katika eneo linalojengwa Ofisi ya
Makamu wa Rais Ihumwa Dodoma
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akipata maelezo ya kina juu ya maendeleo ya ujenzi wa Ofisi ya
Makamu wa Rais Ihumwa Dodoma kutoka kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu
wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba (kushoto). (Picha na
Ofisi ya Makamu wa Rais).
Ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira
ukiendelea kwa kasi nzuri Ihumwa Dodoma. (Picha na Ofisi ya Makamu wa
Rais)
Katibu Mkuu Ofisi ya
Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhandisi Joseph Malongo akielezea
namna jengo la ofisi ya Makamu wa Rais litakavyokuwa mara baada ya
ujenzi kukamilika katika eneo la Ihumwa, Dodoma. (Picha na Ofisi ya
Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akipata maelezo ya kina juu ya maendeleo ya ujenzi wa Ofisi ya
Makamu wa Rais Ihumwa Dodoma kutoka kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu
wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba (kushoto). (Picha na
Ofisi ya Makamu wa Rais).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akikagua maendeleo ya ujenzi wa Ofisi ya
Makamu wa Rais Ihumwa Dodoma akiwa pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu
wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba (kushoto) na Katibu Mkuu wa ofisi hiyo Mhandisi Joseph Malongo
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akikagua maendeleo ya ujenzi wa Ofisi ya
Makamu wa Rais Ihumwa Dodoma akiwa pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu
wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba (kushoto) na Katibu Mkuu wa ofisi hiyo Mhandisi Joseph Malongo
Ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira
ukiendelea kwa kasi nzuri Ihumwa Dodoma. (Picha na Ofisi ya Makamu wa
Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akipanda mti wa kumbukumbu mara baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Ofisi ya
Makamu wa Rais Ihumwa Dodoma (Picha na
Ofisi ya Makamu wa Rais).
akamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akimwagilia maji mti wa kumbukumbu mara baada ya kuupanda katika eneo ambalo Ofisi ya
Makamu wa Rais inajengwa Ihumwa Dodoma (Picha na
Ofisi ya Makamu wa Rais).
Ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira
ukiendelea kwa kasi nzuri Ihumwa Dodoma. (Picha na Ofisi ya Makamu wa
Rais).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...