Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (wa pili kulia) akitambulishwa kwa Mkuu wa Wilaya Ilemela, Severine Lalika aliyemuwakilisha Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella katika hafla ya jioni iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa Wateja na Wafanyabiashara wa Jijini Mwanza, iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Gold Crest, Januari 29, 2019. Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya CRDB, Ally Laay pamoja na Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kulia) akijumuika pamoja na Wateja na Wafanyabiashara wa Jijini Mwanza katika Hafla ya Jioni iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Gold Crest, Januari 29, 2019, Wengine ni Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Dkt. Severline Laika, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Ally Laay na Mfanyabiashara maarufu jijini Mwanza, Dkt. Anthony Dialo.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Ally Laay akiznumza katika hafla hiyo na kumtambilisha Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela kwa baadhi ya wateja na wafanyabiashara wa jijini Mwanza waliohudhulia hafla hiyo, iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Gold Crest, Januari 29, 2019, jijini Mwanza.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akiznumza katika hafla hiyo ambapo aliwashukru wateja na wafanyabiashara wa jijini Mwanza kwa kuendelea kutumia huduma za benki hiyo na kuwaahidi huduma bora zaidi.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akizungumza jambo na aliyekuwa Mkurugezi wa Benki ya CRDB tawi la Mwanza, Calystus Wambura baada ya kuagwa rasmi na Mameneja wa Benki hiyo wa Kanda ya Ziwa.
Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa akimpongeza aliyekuwa Mkurugezi wa Benki ya CRDB tawi la Mwanza, Calystus Wambura baada ya kuagwa rasmi na Mameneja wa Benki hiyo wa Kanda ya Ziwa.







 


















Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...