Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akishuhudia Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabud na Mwenyekiti wa kampuni ya Bharti Airtel  Bw. Sunil Mittal  wakitia saini makubaliano mapya ya ubia kati ya serikali itayokuwa na asilimia 49 na Airtel  na asilimia 51 kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 15, 2019. .
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono na Mwenyekiti wa kampuni ya Bharti Airtel  Bw. Sunnil Mittal baada ya kutiwa saini kwa makubaliano mapya ya ubia kati ya serikali itayokuwa na asilimia 49 na Airteml asilimia 51 kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 15, 2019. Katikati ni Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi
 DONE DEAL: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akishuhudia Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabud akipeana mikono na Mwenyekiti wa kampuni ya Bharti Airtel  Bw. Sunnil Mittal baada ya kutiwa saini kwa makubaliano mapya ya ubia kati ya serikali itayokuwa na asilimia 49 na Airtel asilimia 51 kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 15, 2019. 
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono na Mwenyekiti wa kampuni ya Bharti Airtel  Bw. Sunil Mittal baada ya kushuhudia zoezi la kutiwa saini kwa makubaliano mapya ya ubia kati ya serikali itayokuwa na asilimia 49 na Airtel na asilimia 51 kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 15, 2019. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono na Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania Bw. Sunil Colaso baada ya makubaliano mapya ya ubia kati ya serikali itayokuwa na asilimia 49 na Airtel yenye asilimia 51 kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 15, 2019. 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsindikiza  Mwenyekiti wa kampuni ya Bharti Airtel  Bw. Sunil Mittal baada ya kushuhudia zoezi la kutiwa saini kwa makubaliano mapya ya ubia kati ya serikali itayokuwa na asilimia 49 na Airtel na asilimia 51 kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 15, 2019. Katikati ni Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi aliyeongoza timu ya Serikali katika mazungumzo na kampuni ya Bharti Airtel katika kufikia makubaliano mapya ya ubia kati ya serikali itayokuwa na asilimia 49 na kampuni hiyo asilimia 51 kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 15, 2019. Wengine ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi, Katibu Mkuu wizara ya Fedha na Mipango Bw. Doto James, Mwenyekiti wa Bharti Airtel Bw. Sunil Mittal na ujumbe wake pamoja na ujumbe wa serikali.
  FURAHA YA MAKUBALIANO MUAFAKA: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na  Mwenyekiti wa kampuni ya Bharti Airtel  Bw. Sunnil Mittal na ujumbe wake pamoja na ujumbe wa serikali baada ya kupata picha ya pamoja ya kumbukumbu ya kutiwa saini kwa makubaliano mapya ya ubia kati ya serikali itayokuwa na asilimia 49 na Airteml asilimia 51 kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 15, 2019. Katikati ni Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi

PICHA NA IKULU.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...