Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme akishiriki ujenzi wa vyumba vya Madarasa katika Shule ya Frank Weston iliyopo Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma.
......................
Agizo la Waziri Mkuu KASSIM MAJALIWA la kuhakikisha wanafunzi wanaopaswa kuanza darasa la kwanza na kidato cha kwanza wanakwenda shule limeanza kutekelezwa katika Mkoa wa RUVUMA. Ambapo Mkuu wa Mkoa huo Christine Mndeme amefanya ziara ya kukagua mapokezi ya wanafunzi wa darasa la kwanza, kidato cha kwanza na kukagua miundombinu ya madarasa katika Wilaya ya TUNDURU. Sambamba na kumpa maagizo Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Juma Homera kuwachukulia hatua wazazi ambao wameshindwa kuwapeleka watoto wa shule ” DC we kata funua “.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...