Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) na Baraza la Uwezeshaji Wananchi kiuchumi (NEEC) jana Januari 22 , 2019 wakubaliana kufanya kazi kwa pamoja katika maeneo ya kuwezesha wananchi wa Watanzania katika sekta zote za kiuchumi na kuwawezesha upatikanaji wa masoko. Kikao kazi cha mkakati kiliongozwa na Bw Edwin Rutageruka Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade na Bibi Beng'i Issa Katibu Mtendaji wa NEEC .Picha na TanTrade
Home
BIASHARA
HABARI
TAnTrade,NEEC WAKUBALIANA KUFANYA KAZI PAMOJA KUWEZESHA WANANCHI SEKTA ZOTE ZA KIUCHUMI IKIWEMO MASOKO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...