Mkuu wa wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma Juma Homera ametoa wiki tatu kwa waganga wa Jadi na Tiba Asilia kujisajili kisheria ili kupata leseni za kufanya shughuli zao katika maeneo mbalimbali hapa nchini. 

Agizo hilo amelitoa wakati akifungua mkutano kwa waganga wa Jadi na Tiba Asilia wa wilaya hiyo ambao ulioandaliwa na shirikisho la vyama vya Tiba Asilia Tanzania na kuhudhuriwa na mwenyekiti wa shirikisho Taifa Abrahamani Lutenga.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...