Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group Ruge Mutahaba amefariki dunia leo nchini Afrika Kusini alipokuwa akipatiwa matibabu.
Kufuatia msiba huo Rais Dkt John Pombe Magufuli ametoa pole kwa wanafamilia, ndugu, jamaa na marafiki.
Tutaendelea kuwafahamisha kinachojiri katika msiba huu mkubwa wa Taifa, hususan katika tasnia za habari na burudani, bila kusahau kipengele muhimu cha hamasa cha kuhamasisha vijana kuchangamkia fursa ili kujikwamua kimaisha kilichoasisiwa na Ruge.
Kufuatia msiba huo Rais Dkt John Pombe Magufuli ametoa pole kwa wanafamilia, ndugu, jamaa na marafiki.
Tutaendelea kuwafahamisha kinachojiri katika msiba huu mkubwa wa Taifa, hususan katika tasnia za habari na burudani, bila kusahau kipengele muhimu cha hamasa cha kuhamasisha vijana kuchangamkia fursa ili kujikwamua kimaisha kilichoasisiwa na Ruge.
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI
AMIN.




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...