Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi). Arch. Elius Mwakalinga, akifafanua jambo kwa Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Wizara yake jijini Dodoma, leo katika kikao kazi cha kujadili majukumu ya Taasisi hizo.
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi). Arch. Elius Mwakalinga (katikati), akisikiliza uwasilishwaji wa taarifa za utekelezaji kutoka katika taasisi zilizo chini ya sekta yake jijini Dodoma, leo kwenye kikao kazi cha kujadili majukumu ya Taasisi hizo. Kushoto ni Mkurugenzi wa Sera na Mipango kutoka Wizarani hapo Bi. Elizabeth Tagora.
 Mkurugenzi wa Sera na Mipango kutoka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (sekta ya Ujenzi), Bi. Elizabeth Tagora, akizungumza na Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Wizara hiyo jijini Dodoma, leo katika kikao kazi cha kujadili majukumu ya Taasisi hizo.
 Meneja miradi kutoka Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS). Eng. Crispianus Ako, akitoa taarifa ya utekezaji wa Wakala huo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi). Arch. Elius Mwakalinga, (hayupo pichani), katika kikao kazi cha kujadili majukumu ya Taasisi hizo jijini Dodoma, leo.
Baadhi ya Wakuu wa Taasisi na Wakurugenzi kutoka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Arch. Elius Mwakalinga, wakati akifungua kikao kazi cha kujadili majukumu ya Taasisi hizo jijini Dodoma, leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...