Ustadh Hajj Khamis na Ustadh Abbas wakiongoza kisomo cha Mama yake Ally Jecha Bi. Zainab M. Mwinyi kilichofanyika Mt Vernon New York siku ya Jumamosi. Ally Jecha ni Staff wa Tanzania Mission New York City.
Bi Zainab alifariki huko nyumbani Zanzibar, Tanzania.
BISMILLAH
INNA LILLAHI WA INNA ILAYHI RAJ'OON
Ally Jesha akitoa shukrani kwa wa Community ya Watanzania New York baada ya kisomo
Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa, Mhe. Modest J. Mero akipata Ukodac na Ally Jesha baada ya Kisomo.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...