Kamishna Jenerali wa Magereza Phaustine Kasike (kushoto) akisalimiana na Mkufunzi Mkuu Kanali Erick E. Mhor (kulia). Wa pili toka kushoto ni Mkalimani toka Jeshi la China, Brig. Jenerali Liang Hongshan na wapili toka kulia ni Brig. Jenerali M.N.Mkeremy.

 Mkuu wa Msafara Commodore Mumanga (kushoto) akimkabidhi Naibu Kamishna wa Magereza John Masunga,  zawadi maalum ya Mkuu wa Jeshi hilo.
 . Insp. Mwasimba Boge wa Jeshi la Magereza (wa pili kulia) akitoa maelezo ya baadhi ya nguo zinazoshonwa na wafungwa kama njia mojawapo ya Urekebishaji ndani ya Kiwanda cha Ukonga.
 Mkuu wa msafara wa Maafisa na washirirki wa kozi wa Chuo cha Ulinzi cha Taifa (NDC) Commodore (Brig. Jenerali-Navy) M.M.Mumanga (kushoto) akikaribishwa na Mkuu wa Viwanda Vidogo Vidogo wa Jeshi la Magereza Naibu Kamishna John Masunga. Kulia ni Naibu Kamishna Jeremiah Katungu.
 Mkuu wa msafara Commodore Mumanga(kushoto) akitoa neon la shukrani kwa Kamishna Jenerali wa Magereza (hayupo pichani). Kulia ni Brig. Jenerali Zhang Yongxi ambaye ni Mkufunzi Mkuu toka Jeshi la China.
 Askari wa Kikosi Maalum cha Kutuliza Ghasia Magerezani (KMKGM) wakiwaonesha wakufunzi na wanafunzi toka Chuo cha Ulinzi cha Taifa jinsi ya kukabiliana na wahalifu wakorofi.

Mkuu wa Jeshi la Magereza, Kamishna Jenerali Phaustine Kasike (wan ne toka kushoto, walioketi) akiwa kwenye picha ya pamoja na Viongozi Waandamizi wa Jeshi la Magereza, Viongozi Waandamizi wa Chuo cha Ulinzi cha Taifa pamoja na wanafunzi wa Chuo hicho.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...