RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa amesimama wakati akiwasili katika viwanja vya Kambi ya KVZ Mtoni Zanzibar, kuhudhuria hafla ya chakula cha mchana alichowaandalia Vijana walishoriki Maadhimisho ya Miaka 55 ya Mapinduzi Zanzibar, kulia Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zuberi Ali Maul;id na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Riziki Pembe Juma na kushoto Kiongozi wa Vijana wa HJalaiki Ndg. Ali Mohammed Bakari.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, kulia Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.Mhe. Zuberi Ali Maulid na kushoto Kiongozi wa Vijana wa Walioshiri Halaiki za Maadhimisho ya Miaka 55 ya Mapinduzi Ndg. Ali,Mohammed Bakari, wakiwa wamesimama wakipiga makofi baada ya kuwasili mgeni rasmin Rais wa Zanzibar, kujumuika na Vijana katika chakula maalum alichowaandalia katika viwanja vya Kambi ya KVZ Mtoni Zanzibar.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja. Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud, alipowasili katika viwanja vya Kambi ya KVZ Mtoni kuhudhuria hafla ya chakula alichowaandalia Vijana Walioshiriki Maadhimisho ya Miaka 55 ya Mapinduzi Zanzibar zilizofanyika Kisiwani Pemba.
VIJANA Walioshiriki Halaiki ya Maadhimisho ya Miaka 55 ya Mapinduzi Zanzibar zilizofanyika katika Uwanja wa Gombani Kisiwani Pemba, wakipiga makofi baada ya kuwasili kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, katika viwanja vya Kambi ya KVZ Mtoni Zanzibar,(Picha na Ikulu)
VIJANA Waliuoshiriki katika Halaiki ya kuadhimisha Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar zilizofanyika katika Uwanja wa Gombani Kisiwani Pemba, wakijumuika katika chakula maalum kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, katika viwanja vya Kambi ya KVZ Mtoni Zanzibar.(Picha na Ikulu)

KIONGOZI wa Halaiki Ndg. Ali Mohammed Bakari, akitowa shukrani kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, wakati wa hafla ya chakula maalumu kilichoandaliwa kwa ajili yao katika viwanja vya Kambi ya KVZ Mtoni Zanzibar,kwa Vijana walioshiriki Maadhimisho ya Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar. (Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa na Viongozi wa meza kuu kulia Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.Mhe. Zuberi Ali Maulid, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe. Riziki Pembe Juma na kushoto Kiongozi wa Vijana wa Halaiki Ndg Ali Mohammed Bakari, wakijumuika na Vijana wakiimba “Wimbo wa Sisi Sote Tumegomboka” wakati wa hafla hiyo.

VIJANA Walioshiriki Halaiki ya Maadhimisho ya Miaka 55 ya Mapinduzi ya Mapinduzi ya wakishiriki katika kuimba “Wimbo wa Sisi Sote Tumegombaka” wakati wa hafla hiyo ya chakula maalum kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, zilizofanyika katika viwanja vya Kambi ya KVZ Mtoni Zanzibar.(Picha na Ikulu)
/WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Issa Haji Gavu, akizungumza na kutowa shukrani za Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, kwa Vijana walioshirki katika Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(Picha na Ikulu)
VIJANA Walioshiriki Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar zilizofanyika kisiwani Pemba mwezi Januari 2019, wakifuatilia hafla hiyo ya chakula maalum kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, katika viwanja vya Kambi ya KVZ Mtoni Zanzibar.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...