Mkurugenzi wa Idara ya  Habari Maelezo na Msemaji wa Serikali Dkt Hassan Abbas akizungumza na waandishi habari wakati alipokwenda kutoa pole ya Msiba wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Uzalishaji Vipindi wa Clouds Medio Group,Ruge Mutahaba aliyefariki Jana nchini Afrika Kusini. Dkt Abbas amesema Ruge alikuwa kijana wa pekee aliyetoa mchango wake ambao umeweza kuonekana katika kusaidia vijana wengi nchini.Amesema kuwa vijana waliobaki nao waoneshe njia zilizoachwa na Ruge kwa kuamini katika kusaidia wengine. Amesema Ruge ametutoka lakini tulikuwa na muhitaji lakini kazi ya Mungu haina makosa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...