Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akizungumza na Wafadhili wa Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo walipomtembelea leo Ofisini kwake Jijini Dodoma. Wa pili kutoka mwisho upande wa Kulia ni Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson na wakwanza ni Katibu wa Bunge Ndg. Stephen Kagaigai.
Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson (kulia) akifafanua jambo wakati wa Kikao kati ya Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai na Wafadhili wa Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo.
Mtaalam Mwadamizi wa masuala ya Jinsia na Utawala katika Ubalozi Ireland nchini Bi. Aran Corrigan (wakwanza kulia) akifafanua jambo wakati wa kikao kati ya Spika wa Bunge na Wafadhili wa Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (watatu kutoka kushoto) katika picha ya pamoja na Wafadhili wa Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo mara baada ya kuzungumza nao Ofisini kwake Jijini Dodoma. Kushoto kwa Spika ni Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson.

PICHA NA BUNGE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...