Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na viongozi kutoka Chama cha wamiliki wa Makampuni ya kitalii Tanzania walipomtembelea leo tarehe 7 Februari, 2019 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Mjumbe Bodi ya wadhamini Chama cha wamiliki wa Makampuni ya kitalii Tanzania, Ndg. Merywn Nunes (katikati) walipomtembelea leo tarehe 7 Februari, 2019 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Makamu Mwenyekiti Chama cha wamiliki wa Makampuni ya kitalii Tanzania, Ndg. Henry kimambo
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wa tatu kushoto) akimsikiliza Mhe. Immaculate Semesi (aliesimama) wakati walipokutana na viongozi Chama cha wamiliki wa Makampuni ya kitalii Tanzania leo tarehe 7 Februari, 2019 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) katika picha ya pamoja na Mjumbe Bodi ya wadhamini Chama cha wamiliki wa Makampuni ya kitalii Tanzania, Ndg. Merywn Nunes alipomtembelea leo tarehe 7 Februari, 2019 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (mwenye tai) katika picha ya pamoja na viongozi kutoka Chama cha wamiliki wa Makampuni ya kitalii Tanzania walipomtembelea leo tarehe 7 Februari, 2019 ofisini kwke Bungeni Jijini Dodoma.

(PICHA NA DEONISIUS SIMBA - OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...