Spika wa Bunge Job Ndugai akizungumza na Viongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Watu wenye Ulemavu Tanzania.
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Watu wenye Ulemavu Tanzania Peter Sarungi akimueleza jambo Spika wa Bunge Job Ndugai wakati walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma.
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Watu wenye Ulemavu Tanzania Peter Sarungi (katikati) akimkabidhi jezi Spika wa Bunge Job Ndugai walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge Job Ndugai (wa pili kutoka kushoto) katika picha ya pamoja na Viongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Watu wenye Ulemavu Tanzania mara baada ya kuzungumza nao Ofisini kwake Jijini Dodoma.
PICHA NA BUNGE
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...