Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Mbunge wa Urambo, Margreth Sitta kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Februari 7, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Busanda, Lolesia Bukwimba kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Februari 7, 2019. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Busanda, Lolesia Bukwimba kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Februari 7, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Msalala, Ezekiel Maige kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Februari 7, 2019.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama akiteta na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Anthony Mavunde, bungeni jijini Dodoma, Februari 7, 2019.
 Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi akizungumza na Mbunge wa Sumve, Richard Ndassa, bungeni jijini Dodoma, Februari 8, 2019.

 Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi (kulia) akiteta na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Anthony Mavunde, bungeni jijini Dodoma, Februari 8, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama akiteta na Naibu Waziri wa Maji, Juma Aweso, bungeni jijini Dodoma, Februari 8, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...