UWT mkoa wa Iringa imeadhimisha  miaka 42 ya kuzaliwa chama Cha Mapinduzi ccm kwa kushiriki shuguhuli  za kijamii pamoja na wananchi.

Katika maadhimisho yaliyofanyika katika Kijiji Cha Tanangozi  kata ya Msekeha halmashauri ya Iringa vijiji,UWT ilikabidhi mifuko 40 ya Saruji katika Shule ya sekondari Tanangozi kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa vyumba vya madarasa,walipanda  miti 30 ya Parachichi  katika shamba la shule na kufyatua tofari kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa vyumba vya madarasa unaoendelea.

Mgeni rasm katika maadhimisho hayo alikuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Dkt.Abel Nyamahanga.




















Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...