Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Tulia Akson Mwansasu akikabidhi tuzo ya Msanii Bora wa kike, Mtoto Kutoka Iringa aliyecheza Filamu ya Kesho
 Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Tulia Akson Mwansasu akizungumza wakati wa ufunguzi usiku wa Tuzo za Sinema Zetu Film Festival zilizofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam.
 Mseamaji wa Klabu ya Simba Haji Manara akikabidhi Tuzo kwa Muongozaji wa Filamu John Kallaghe
 Wema Sepetu akizungumza Jambo na Wadau wa Muziki waliofika katika tuzo hizo za Sinema zetu
 Baadhi ya Viongozi wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi wakifuatilia Tuzo za Sinema Zetu zilizofanyika Mlimani City.
 Washehereshaji wa Tuzo hizo Baruani Muuza na Elizabeth Michael wakiwa jukwani wamependeza
 Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo akitoa neno kama Mlezi wa Tuzo hizo na kukaribisha msimu wa tatu
 Muigizaji Maarufu katika Sinema ya Sultan Shaazad Mustafa akiwasili katika ukumbi wa Mlimani City Mahali ambapo Tuzo za Sinema zetu zilifanyika.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...