Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika kikao kati yake na Mawaziri wa Kilimo, Viwanda na Biashara  na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji pamoja na Watendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Zao la Michikichi,  alichokiitisha kwenye Ofisi ya Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, Februari 8, 2019.  Kulia kwake ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji, Angela Kairuki na kushoto kwake ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Maimuna Tarishi. Wapili kulia ni Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga  na kulia ni Naibu Waziri wa Kilimo, Innocent Bashungwa.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika kikao kati yake na Mawaziri wa Kilimo, Viwanda na Biashara na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji pamoja na watendaji wa Taasisi ya Utafi wa zao la Michikichi alichokiitisha kwenye Ofisi ya Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, Februari 8, 2019.  Kulia kwake ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji, Angela Kairuki na kushoto kwake ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Maimuna Tarishi. (Picha na Ofisi ya Waziri  Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...