Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga (wa pili kushoto) akikata utepe kuzindua rasmi moja kati ya Matrekta mapya ya ya Sonalika, yanayosambazwa na Kampuni ya Rellance, wakati wa hafla fupi ya uzinduzi huo uliofanyika jijini Dar es Salaam, leojana. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Daniel Chongolo (kulia) ni Meneja Masoko, Sajal Bagga na Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, Stephen Mloshi. Picha na Mafoto Media.
Furaha baada ya uzinduzi huo....
WAZIRI wa Kilimo, Japhet Hasunga, akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi huo.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Daniel Chongolo, akizungumza katika hafla ya uzinduzi huo.
Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, Stephen Mloshi, akizungumza katika hafla ya uzinduzi huo.




Sehemu ya washiriki katika hafla ya uzinduzi huo.

Wawakilishi wa benki ya CRDB waliohudhuria hafla hiyo wakitambulishwa.

Waziri akimpongeza mmoja wa wakulima walionufaika na Matrekta hayo.... kutoka Mbinga
Waziri akionyesha zawadi aliyokabidhiwa na mkurugenzi wa kampuni hiyo (kushoto).
Picha ya pamoja baada ya uzinduzi


Waziri katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa kampuni hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...