Mwanadiplomasia,Gertrude Mongella akizungumza machache na wafanya kazi wa Benki ya CRDB tawi la Mlimani City leo siku wanawake duniani ambayo hufanyika Machi 8 kila mwaka ambapo amewaasa kufanya kazi kwa bidii na kujitambua katika jamii inayowazunguka. 
Kaimu Mkurugenzi benki ya Benki ya CRDB tawi la Mlimani City,Adelphina Barongo akizungumza na wafanyakazi benki hiyo katika siku wanawake duniani ambayo hufanyika Machi 8 kila mwaka. 
Mwanadiplomasia,Gertrude Mongella akikata keki pamoja na wafanya kazi wa benki ya CRDB tawi la Mlimani City jijini Dar es Salaam kwaajili ya kusherekea siku ya wanawake duniani ambayo hufanyika Machi 8 kila mwaka. 
Mwanadiplomasia,Gertrude Mongella akimlisha keki Kaimu Mkurugenzi benki ya Benki ya CRDB tawi la Mlimani City,Adelphina Barongo 
Mwanadiplomasia,Gertrude Mongella akiwa katika picha na wafanyakazi wa benki ya CRDB tawi Mliman City leo katika maadhimisho siku ya wanawake duniani.
Mwanadiplomasia,Gertrude Mongella akiwa katika picha na wafanyakazi wa benki ya CRDB tawi Mliman City leo katika maadhimisho siku ya wanawake duniani.
Afisa wa benki ya CRDB tawi Mliman City,Maureen Mwanda kulia akimkabidhi zawadi Mwanadiplomasia,Gertrude Mongella 
wafanya kazi wa benki ya CRDB tawi la Mlimani City wakiwa katika picha ya pampoja mara baada ya kudhimishi siku ya wanawake dunia katika tawi lao jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...