Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Kangi Lugola (wa kwanza kushoto) akikaribishwa na Kamishna Jenerali wa Magereza Phaustine Kasike(kulia) nje ya viwanja vya Gereza la Mahabusu Segerea. Katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani Meja Jenerali Jacob Kingu.

 Afisa wa zamu wa Gereza la Mahabusu Segerea, Mkaguzi Ambrose Kasanga (wa tatu kushoto) akimpa taarifa ya Gereza Waziri Kangi Lugola

 Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola akisaini kitabu cha wageni ofisini kwa Mkuu wa Gereza Segerea.
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Kangi Lugola(wa pili kulia) akikagua jengo la zahanati ya ndani ya Gereza ambalo liko kwenye hatua za mwisho za ujenzi.

Waziri Kangi Lugola akifanya mazungumzo na baadhi ya Mahabusu Ndani ya Gereza la Segerea.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...