Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Bilinith Mahenge alipomtembelea leo tarehe 19 Machi, 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Katikati ni Katibu wa Spika, Said Yakubu na kulia ni Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma, Kessy Maduka
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Bilinith Mahenge (katikati) alipomtembelea leo tarehe 19 Machi, 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma, Kessy Maduka
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (katikati) akifurahi jambo na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Bilinith Mahenge (kushoto) na Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma, Kessy Maduka nje ya Ofisi ya Bunge leo tarehe 19 Machi, 2019 Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (katikati) akifurahi jambo na Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma, Kessy Maduka (kulia) nje ya Ofisi ya Bunge leo tarehe 19 Machi, 2019 Jijini Dodoma. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Bilinith Mahenge
Spika wa Bunge, Job Ndugai (katikati) akiagana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Bilinith Mahenge (kushoto) nje ya Ofisi ya Bunge leo tarehe 19 Machi, 2019 Jijini Dodoma. Kulia ni Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma, Kessy Maduka

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...