Taarifa ya Msiba

Habari za mchana.Taarifa fupi zilizotufikia muda mchache uliopita mtanzania mwenzetu aishie hapa Columbus Ohio *Stanley Mushi* amefariki dunia .

Marehemu hakuwa mwanamfuko hila kama jumuiya tunaombwa kushirikiana wote kwenye jambo hili.

Taratibu zingine na maelezo mengine tutawajulisha . Mungu amlaze mahali pema peponi.Amina!

TCCA

Uongozi.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...