Taarifa ya Msiba
Habari za mchana.Taarifa fupi zilizotufikia muda mchache uliopita mtanzania mwenzetu aishie hapa Columbus Ohio *Stanley Mushi* amefariki dunia .
Marehemu hakuwa mwanamfuko hila kama jumuiya tunaombwa kushirikiana wote kwenye jambo hili.
Taratibu zingine na maelezo mengine tutawajulisha . Mungu amlaze mahali pema peponi.Amina!
TCCA
Uongozi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...