VIWANJA VYA MATUMIZI MBALIMABALI VINAUZWA ENEO LA MAKURUNGE BAGAMOYO MJINI. VIWANJA  HIVYO VIPO UMBALI WA KILOMITA 3.5 KUTOKA BARABARA KUU YA MSATA-BAGAMOYO INAYOTUMIWA NA MAGARI YAENDAYO MIKOA YA KASKAZINI KUTOKA DAR ES SALAAM. 

PIA VIWANJA VIKO MITA 500 KUTOKA BARABARA YA KUELEKEA PANGANI NA TANGA INAYOENDELEA KUJENGWA  KWA KIWANGO CHA LAMI NA KUWEKEWA MIUNDOMBINU YA MAJI NA UMEME.  

VIWANJA VIPO MPAKANI  MWA ENEO LA RAZABA AMBALO SEHEMU YAKE INA SHAMBA LA MIWA LA  BAKHARESA NA KIWANDA CHA SUKARI KINACHOENDELEA KUJENGWA KM 7 KUTOKA MAHALI VIWANJA VIPO. ENEO LINALOPAKANA NA VIWANJA HIVI LIMEPIMWA NA VIWANJA VYOTE VIMESHAUZWA  NA VIMEISHA. HUDUMA ZOTE ZA JAMII ZIMETENGEWA MAENEO HAYO.

VIWANJA HIVI VINAUZWA KWA GHARAMA ZA MITA ZA MRABA YA SH. 3900 KWA VIWANJA VYA MAKAZI NA T.SHS 4500 KWA VIWANJA VYA BIASHARA  NA SHUGHULI ZINGINE ZA KIUCHUMI IKIJUMUISHA NA HOUSING ESTATES . VIWANJA HIVI VINA UKUBWA WA KATI YA MITA ZA MRABA WA 450 HADI 11000. 

BAADHI YA VIWANJA VINA HATI TAYARI NA VINGINE MNUNUZI ATATENGENEZEWA HATI NA HALMASHAURI KATIKA MKATABA  WA MANUNUZI UTAKAOFANYWA MBELE YA HALMASHAURI.  MALIPO YA KIWANJA YANAWEZA KUFANYWA KWA AWAMU NDANI YA MIEZI SITA. 

 KWA MAHITAJI NA KUCHAGUA KIWANJA PIGA SIMU 
NAMBA 0765751517 AU 0653461126 
AU FIKA OFISI YA AFISA ARDHI MTEULE BAGAMOYO


 Ramani ya site na 
inayoonyesha viwanja


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...