Mkurugenzi Mwendeshaji wa AICC Ndugu Elishilia Kaaya anasikitika kutangaza kifo cha Baba yake Mzazi Mzee Daniel Saitore Kaaya DSK kilichotokea Jumatano Usiku tarehe 06/03/ 2019 katika Hospitali ya AICC Arusha.
Mazishi yanatarajiwa kufanyika nyumbani kwake kijijini Nguruma Duluti wilayani Arumeru siku ya jumanne tarehe 12/03/2019.Habari ziwafikie ndugu jamaa na marafiki
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...