Mkurugenzi Mwendeshaji wa AICC Ndugu Elishilia Kaaya anasikitika kutangaza kifo cha Baba yake Mzazi Mzee Daniel Saitore Kaaya DSK kilichotokea  Jumatano Usiku tarehe 06/03/ 2019 katika Hospitali ya AICC Arusha.

Mazishi yanatarajiwa kufanyika nyumbani kwake  kijijini Nguruma Duluti wilayani Arumeru siku ya jumanne tarehe 12/03/2019.Habari ziwafikie ndugu jamaa na marafiki

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...