Mwenyekiti wa Timu ya Michezo ya
Bunge (Bunge Sports Club), Mhe. William Ngereja akizungumza na waandishi
wa habari kuitakia heri Timu ya Soka ya Taifa (Taifa Stars) katika
mchezo wake wa kufuzu michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) dhidi ya
Uganda inatoyatarajiwa kuchezwa tarehe 24 Machi, 2019 Jijini Dar es
Salaam, Mkutano huo ulifanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma,
Mwenyekiti wa Timu ya Michezo ya
Bunge (Bunge Sports Club), Mhe. William Ngereja akizungumza na waandishi
wa habari kuitakia heri Timu ya Soka ya Taifa (Taifa Stars) katika
mchezo wake wa kufuzu Michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) dhidi ya
Uganda inatoyatarajiwa kuchezwa tarehe 24 Machi, 2019 Jijini Dar es
Salaam, Mkutano huo ulifanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
Kushoto ni Kocha Mkuu wa Timu hiyo, Mhe. Vanance Mwamoto na Katibu Wa
Timu, Ndugu Waziri Kizingiti. (Picha na Ofisi ya Bunge)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...