Bei za bidhaa mbalimbali katika Soko la Mapinduzi Mwananyamala wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam,kama zinavyoonekana katika picha.
Bei ya maharage ya soya kilomoja ni shilingi 2200,2400.
Wafanya biashara wa viazi katika Soko la Mapinduzi Mwananyamala Kinondoni jijini Dar es Salaam wakisubiri wateja wanaotoka sehemu mbalimbali,ambapo fungu moja la viazi limauzwa shilingi 1000 mpaka 2000. Picha na Emmanuel Massaka,MMG)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...