Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Dar es Salaam, Dorothy Kilave akizungumza na Wanawake Kata ya Saranga kwenye ziara ya kikazi kwa kata zote za Wilaya ya Ubungo ambapo amewaagiza Wanawake kujitokeza kwa wingi kuwania nafasi za uongozi.
 Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Dar es Salaam,Dorothy Kilave,akikagua Maonesho ya Wanawake wajasiriamali wa kata ya Saranga
 Katibu wa Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Dar es Salaam akiongea na Wanawake wa kata ya Saranga kwenye ziara ya Mwenyekiti wa wa UWT Dar es Salaam.
 Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Dar es Salaam,Dorothy Kilave, akicheza na Wanawake wa kata ya Saranga
 Mwenyekiti wa UWT Wilaya ya Ubungo akimkaribisha Mwenyekiti wa Mkoa wa Dar es Salaam.
 Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Dar es Salaam,Dorothy Kilave, akikabidhi kadi kwa Wanachama wapya wa UWT Wilaya ya Dar es Salaam.
 Wanachama wa Umoja wa  Wanawake wa Kata ya Saranga wakimsikiliza Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Dar es Salaam,Dorothy Kilave

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...