Mhandisi wa maji wa wilaya ya Tunduru Batholomeo Matwinga kushoto,akitoa taarifa ya ujenzi wa mradi mkubwa wa maji unaotekelezwa na Serikali katika kijiji cha Milonde kata ya Matemanga wilayani humo kwa Mkuu wa wilaya hiyo Juma Homera aliyevaa suti   wakati wa kilele cha Maadhimisho ya wiki ya Maji Nchini,
 Mkuu wa wilaya ya Tunduru Juma Homera akipanda ngazi kukagua ujenzi wa Tenki la kuhiafdhia maji katika kijiji cha Milonde wialayni humo wakati wa maadhimisho ya wiki ya maji Nchini.
 Mkuu wa wilaya ya Tunduru Juma Homera akiweka jiwe la msingi katika ujenzi wa Tenki la maji   katika mradi wa Maji kijiji cha Milonde kata ya Nakapanya wilayani humo,kulia aliyevaa kofia Mwenyeki wa Halmashauri ya wilaya Mbwana Mkwanda Sudi,na kushoto anayemsaidia Mhandisi wa Maji wa Wilaya Batholomeo Matwiga.picha na Muhidin Amri

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...