Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Mbulu mkoa wa Manyara,Moses Nduligu akizungumza na waandishi wa habari waliotembelea wilaya hiyo kuona usambazi wa teknolojia za mbegu bora za maharage zilizofanyiwa utafiti ili kumwongezea mkulima tija.
Mkulima wa maharage katika Kijiji cha Moringa Kata ya Daudi wilaya ya Mbulu,Julitha Cosmas akiwa katika shamba lake linalotumiwa na Kituo cha Utafiti wa Kilimo(TARI-Selian) Arusha kutoa mafunzo kwa wakulima wengine.
Mtafiti wa taasisi ya The International Center for Tropical Agriculture(CIAT),Redegunda Kessy akizungumza jambo wakati wa ziara hiyo.
Mkulima wa maharage katika Kijiji cha Moringa Kata ya Daudi wilaya ya Mbulu,Rose Cyprian akiwa katika shamba lake,amefurahia mbegu bora aina ya Selian 14 inayotoa mazao bora.
Mkulima wa maharage eneo la Hydom wilaya ya Mbulu,Abel Bayda akikagua shamba lake linalotumiwa na Kituo cha Utafiti wa Kilimo(TARI-Selian) Arusha kutoa mafunzo kwa wakulima wengine.
Mtafiti wa taasisi ya The International Center for Tropical Agriculture(CIAT),Redegunda Kessy akizungumza jambo na waandishi wa habari wakati wa ziara hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...