Mkuu wa wilaya ya Kigamboni,Sara Msafiri akizungumza na wawekezaji wa vituo vya kuhifadhi mafuta na gesi ambampo ali wasisitiza waendelee kushirikina na wananchi pamoja na kulipa kodi kwa wakati kwa manufaa ya taifa letu katika mkutano uliofanyika jana jijini Dar es Salaam.
Mrakibu Mwandamizi wa Polisi,John Makuri akizungumza na wawekezaji wa vituo vya kuhifadhi mafuta na gesi ambapo aliwahakikishi watatekeleza majukumu yao ya kulinda usalama wa raia na mali zao katika mkutano uliofanyika jana jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wawekezaji wa vituo vyakuhifadhi mafuta na gesi wakimsiliza Mkuu wa wilaya ya Kigamboni, Sara Msafiri (hayupo pichani) katika mkutano uliofanyika jana jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...