Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Omary Nyembo maarufu kama Ommy Dimpoz akiwafanyia shopingi mashabiki wake wawili wa Muziki katika maduka ya GSM Mall yaliyopo eneoa la Barabara ya Nyerere jijini Dar es Salaam jana. Dimpoz aliwazawadia mashabiki wake wawili hao baada ya kuwachagua kupitia Instagram wakiwa wanafuatilia muziki wake mara nyingi


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...