Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akishiriki kubeba matofali wakati wa ujenzi wa nyumba za askari polisi eneo la Njiro mjini Arusha ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Sherehe za Muungano.
 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha (RPC), Jonathani Shana akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo kushiriki ujenzi wa nyumba Sita za Polisi eneo la Njiro mjiani Arusha jana ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Sherehe za Muungano.
 Askari na baadhi ya Maofisa wa Jeshi la Polisi mkoani Arusha wakishiriki usaombaji wa matofauri wakati wa ujenzi wa nyumba za makazi kwa askari hao eneo la Njiro mjini Arusha ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya sherehe za Muungano. 
 Askari Polisi wakiwa chini ya msingi kwa ajili ya kumwaga zege wakati wa ujenzi wa nyumba za askari eneo la Njiro mjini Arusha ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya sherehe za Muungano.
 Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo mwenye jacket akiwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha (RPC), Jonathan Shana wakishiriki kubeba zege wakati wa ujenzi wa nyumba za polisi eneo la Njiro mjini Arusha ikiwa ni sehemu ya sherehe za Muungano.
  Askari na baadhi ya Maofisa wa Jeshi la Polisi mkoani Arusha wakishiriki usaombaji wa matofauri wakati wa ujenzi wa nyumba za makazi kwa askari hao eneo la Njiro mjini Arusha ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya sherehe za Muungano. 
 
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...