Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai aongoza Kikao cha Mashauriano kati ya Kamati ya uongozi na Kamati ya Bajeti kuhusu Mambo muhimu yaliyojitokeza kwenye Kamati za Kisekta, Kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma, 31 Machi, 2019. Kikao hicho pia kilihudhuriwa na Mawaziri na Manaibu Mawaziri wakiongozwa na Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa (kulia kwa Spika)
Home
BUNGE
SPIKA NDUGAI AONGOZA KIKAO CHA MASHAURIANO KATI YA KAMATI YA UONGOZI NA KAMATI YA BAJETI BUNGENI JIJINI DODOMA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...