Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Spika wa Bunge wakati alipowasili kwenye ukumbi wa Msekwa, Bungeni jijini Dodoma, Machi 31, 2019 kushiriki katika Kikao cha Mashauriano kati ya Kamati ya Uongozi na Kamati ya Bajeti kuhusu mambo muhimu yaliyojitokeza kwenye Kamati za Kisekta wakati wa kujadili utekelezaji wa Bajeti za Wizara kilichofanyika kwenye ukumbi wa Msekwa, Bungeni jijini Dodoma. Wa pili kulia ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, kushoto ni Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango na katikati ni Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Tekinolojia, William Tate Ole Nasha. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Machi 31, 2019 alishiriki katika Kikao cha Mashauriano kati ya Kamati ya Uongozi na Kamati ya Bajeti kuhusu mambo muhimu yaliyojitokeza kwenye Kamati za Kisekta wakati wa kujadili utekelezaji wa Bajeti za Wizara kilichofanyika kwenye ukumbi wa Msekwa, Bungeni jijini Dodoma. Kulia ni Spika wa Bunge Job Ndugai akizungumza katika Kikao hicho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...