Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani ambaye pia anawakilisha nchi Ucheki Dkt. Abdallah Possi akiwa tayari kuwaasilisha hati za utambulisho kwa Rais Miloš Zeman wa Jamhuri ya Ucheki (Czech Republic) katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Prague Jumatano Mei 8,  2019
 Balozi Dkt. Abdallah Possi akiwasilisha hati za utambulisho kwa Rais Miloš Zeman wa Jamhuri ya Ucheki (Czech Republic)

 Balozi Dkt. Abdallah Possi akimtambulisha mkewe baada ya kuwasilisha hati za utambulisho kwa Rais Miloš Zeman wa Jamhuri ya Ucheki (Czech Republic)
Balozi Dkt. Abdallah Possi katika picha ya kumbukumbu baada ya kuwasilisha hati za utambulisho kwa Rais Miloš Zeman wa Jamhuri ya Ucheki (Czech Republic)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...