Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki ya Exim Tanzania Bw Jaffari Matundu (Kulia) kizungumza na baadhi ya wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Exim Tanzania pamoja na wafanyakazi wa benki hiyo wakati wa hafla hiyo.
Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa Benki ya Exim Tanzania anaemaliza muda wake Bw Said Mwema (Kulia) akizungumza na baadhi ya wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Exim Tanzania pamoja na wafanyakazi wa benki hiyo wakati wa hafla hiyo.

Baadhi ya wajumbe ya Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya Exim Tanzania wakimpongeza Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki hiyo Bw Jaffari Matundu (Kulia) wakati wa hafla maalumu ya kumpongeza Mkurugenzi huyo pamoja na wafanyakazi wengine iliyofanyika makao makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam jana.


Mwenyekiti mstaafu wa Bodi ya wakurugenzi wa Benki ya Exim Tanzania Bw Yogesh Manek (Kulia) akiwapongeza Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki hiyo Bw Jaffari Matundu (katikati) pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa Benki hiyo anaemaliza muda wake Bw Said Mwema wakati wa hafla hiyo.
 


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...