Hivi ndivyo hali ilivyokuwa katika maeneo mengi hapa jijini Dar es Salaam na mkoa wa Pwani kutokana na Mvua  kubwa iliyonyesha jana, ambapo  barabara nyingi za Dar zilijaa maji hali iliyosababisha baadhi ya magari  kuharibika na pia kusabaisa foleni kubwa ya magari,lakini pia inaonesha mitaro mingi ya kupitisha maji machafu kati kati ya jiji imeziba,hali inayochangia pia kutuama kwa maji.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi  Tv)






Limezima anasubiriwa fundi
 Gari likiwa limehariika katikati ya barabara ya Kilwa kata ya Mandege mkoa wa Pwani.
 Kama ionekanavyo pichani hapa wananchi wakisukuma gari baada ya kukwama kwenye matope kufuatia Mvua zilizoanza kunyesha wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...