Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka  akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga,   Marehemu Brigedia Jenerali Mstaafu, Dkt. Yohana Daudi Balele,  ambaye alifariki Mei 02, 2019 jijini Dar es salaam  na kuzikwa Mei 09, 2019 wilayani Bariadi Mkoani Simiyu
 Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) wakiwa  wamebeba Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Brigedia Jenerali Mstaafu, Dkt. Yohana Daudi Balele ambaye alifariki Mei 02, 2019 jijini Dar es salaam  na kuzikwa Mei 09, 2019 wilayani Bariadi Mkoani Simiyu
 Kutoka kulia Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka, Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo Kiswaga na Mbunge wa Bariadi, Mhe. Andrew Chenge wakiteta jambo kabla ya zoezi la kuaga mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga , Marehemu Brigedia Jenerali Mstaafu, Dkt. Yohana Daudi Balele, ambaye alifariki Mei 02, 2019 jijini Dar es salaam  na kuzikwa Mei 09, 2019 wilayani  Mkoani Simiyu
 Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) wakiweka  Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Marehemu Brigedia Jenerali Mstaafu, Dkt. Yohana Daudi Balele,  ambaye alifariki Mei 02, 2019 jijini Dar es salaam  na kuzikwa Mei 09, 2019 wilayani  Bariadi Mkoani Simiyu  
 Kulia ni Mjane wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Marehemu Brigedia Jenerali Mstaafu, Dkt. Yohana Daudi Balele akiweka shada la maua kwenye kaburi la mume wake ,  ambaye alifariki Mei 02, 2019 jijini Dar es salaam  na kuzikwa Mei 09, 2019 wilayani Bariadi Mkoani Simiyu.
 Naibu Waziri wa Madini, Mhe. Stanslaus Nyongo akiweka shada la Maua kwenye kaburi la aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Marehemu Brigedia Jenerali Mstaafu, Dkt. Yohana Daudi Balele, ambaye alifariki Mei 02, 2019 jijini Dar es salaam  na kuzikwa Mei 09, 2019 wilayani Bariadi Mkoani Simiyu.
 Mchungaji wa Kanisa la Waadventista Wasabato, Mch.Elias Swita(wa pili kulia) akibariki kaburi ambalo umezikwa mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Marehemu Brigedia Jenerali Mstaafu, Dkt. Yohana Daudi Balele, ambaye alifariki Mei 02, 2019 jijini Dar es salaam  na kuzikwa Mei 09, 2019 wilayani Bariadi Mkoani Simiyu.
 Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Komredi Kheri James (mwenye kofia) akizungumza jambo na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka na wengine ni baadhia ya viongozi wakiondoka eneo alilozikwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Marehemu Brigedia Jenerali Mstaafu, Dkt. Yohana Daudi Balele, ambaye alifariki Mei 02, 2019 jijini Dar es salaam  na kuzikwa Mei 09, 2019 wilayani Mkoani Simiyu  
 Kutoka kushoto Brigedia Jenerali Mstaafu, Michael  Isamuhyo, Mkuu wa Mkoa Mstaafu, Njelu Kasaka, Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka na Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo Kiswaga wakiteta jambo mara baada ya zoezi la kuaga mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Marehemu Brigedia Jenerali Mstaafu, Dkt. Yohana Daudi Balele kumalizika katika Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi, ambaye alifariki Mei 02, 2019 jijini Dar es salaam  na kuzikwa Mei 09, 2019 wilayani Bariadi Mkoani Simiyu.

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka  akiweka shada la Maua kwenye kaburi la aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Marehemu Brigedia Jenerali Mstaafu, Dkt. Yohana Daudi Balele, ambaye alifariki Mei 02, 2019 jijini Dar es salaam  na kuzikwa Mei 09, 2019 wilayani Bariadi  Mkoani Simiyu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...