Meneja Uchumi wa Benki kuu ya Tanzania tawi la Zanzibar Moto Ng'winganele Lugobi(kulia)akijibu baadhi ya maswali yalioulizwa katika Mkutano wa Waandishi wa Habari kuhusiana na Takwimu za Bei ambapo imeonekana kupanda kutoka Asilimia 2.8 kwa Mwaka uliomalizia March 2019 hadi asilimia 2.9 kwa mwaka uliomalizia April 2019 hafla iliofanyika Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Mazizini mjini Zanzibar.
 Mkuu wa Takwimu za Bei katika Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Zanzibar Khamis Abdul-rahman Msham akitoa takwimu za bei kwa waandishi wa Habari mbapo imeonekana kupanda kutoka Asilimia 2.8 kwa Mwaka uliomalizia March 2019 hadi asilimia 2.9 kwa mwaka uliomalizia April 2019 hafla iliofanyika Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Mazizini mjini Zanzibar.
-Meneja Msaidizi Idara ya Uchumi Benki ya Tanzania (BOT)Deogratias Macha akifafanua baadhi ya maswali yalioulizwa katika Mkutano wa Waandishi wa Habari kuhusiana na Takwimu za Bei ambapo imeonekana kupanda kutoka Asilimia 2.8 kwa Mwaka uliomalizia March 2019 hadi asilimia 2.9 kwa mwaka uliomalizia April 2019 hafla iliofanyika Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Mazizini mjini Zanzibar.
 Mwandishi wa Habari wa ZCTV Malik Shahran akiuliza maswali katika Mkutano wa Waandishi wa Habari kuhusiana na Takwimu za Bei ambapo imeonekana kupanda kutoka Asilimia 2.8 kwa Mwaka uliomalizia March 2019 hadi asilimia 2.9 kwa mwaka uliomalizia April 2019 hafla iliofanyika Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Mazizini mjini Zanzibar.
 Baadhi ya Waandishi wa Habari waliohudhuria katika Mkutano wa Waandishi wa Habari kuhusiana na Takwimu za Bei ambapo imeonekana kupanda kutoka Asilimia 2.8 kwa Mwaka uliomalizia March 2019 hadi asilimia 2.9 kwa mwaka uliomalizia April 2019 hafla iliofanyika Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Mazizini mjini Zanzibar.
 Mwandishi wa Habari wa TBC Swaumu Mwavura akiuliza maswali katika Mkutano wa Waandishi wa Habari kuhusiana na Takwimu za Bei ambapo imeonekana kupanda kutoka Asilimia 2.8 kwa Mwaka uliomalizia March 2019 hadi asilimia 2.9 kwa mwaka uliomalizia April 2019 hafla iliofanyika Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Mazizini mjini Zanzibar. PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...