Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Kamishna Msaidizi wa Polisi,Juma Bwire (kushoto) akipokea msaada wa Samani za Makabati 3, viti 15 na Meza 3 kutoka kwa Taasisi ya SOS Children Village Tanzania tawi la Iringa vya thamani ya Tsh 2,700,000/= ambavyo vitatumika kwenye Kitengo cha Dawati la Jinsia na Watoto ngazi ya Kata. Picha na Datus Mahendeka wa Jeshi la Polisi. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...