Na Leandra Gabriel, Blogu ya Jamii
MWILI wa aliyekuwa Waziri mkuu na kiongozi mkubwa wa upinzani nchini Kongo Etienne Tshisekedi umewasili nchini humo ukitokea Ubelgiji ikiwa imepita miaka miwili tangu kufariki kwake.

Kuwasili kwa mwili wake umezua hisia kubwa wakati ukiwasili baada ya kusubiriwa kwa miaka miwili kutokana na zuio la kiongozi huyo kurejea nchini.


 Maelfu ya watu walijitokeza katika uwanja wa ndege mjini Kinshasa wakiimba wakati jeneza lililobeba mwili wa kiongozi huyo likishushwa huku likiwa limefunikwa bendera ya nchi hiyo.


Mazishi ya kiongozi hayo yatafanyikwa kwa heshima kubwa ikiwa kijana wake ndiye Rais wa sasa wa nchi hiyo.  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Pretty! This has been an extremely wonderful article. Many thanks for supplying this information.if you are having Great Collections of Free IPTV M3U Playlist Don’t Forget to Share with Us & Also Ask Us If you have any questions use the comments box. Also, if you want to thanks us for the Latest IPTV Channel Playlist 2019. you can do it just by sharing this article on social media platforms such as Facebook, Whatsapp , Twitter, and Pinterest”

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...